Discuss & Debate | Share | Learn

www.ask.or.tz

Our Partners
#18904
Image

Bilal mwana wa Afrika aliyezaliwa Makka akiwa mtumwa wa mmoja wa Maqureish katili sana, alionesha ulimwengu jinsi mtu mnyonge anayeonewa anavyoweza kujikomboa kutoka kwenye makucha ya madhalimu.
Bilal aliyvumilia kila aina ya mateso kwa kumtegemea Allah (swt) mpaka akaupata uhuru wake na kulinda imani yake ya Uislamu.
Kumjua Bilal ni kuujua Uislamu, kwani Bilal ni katika watu wa mwanzo kabisa kumkubali Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) na Uislamu.

Jina la Kitabu : Bilal wa Afrika na Maswahaba wengine wa Afrika wa Mtukufu Mtume
Mwandishi : Husayn Malika Ashtiyani
Mtafsiri : Salman Shou
Mchapishaji : Al-Itrah Foundation
ISBN : 9987427030

PDF:
http://www.shia-maktab.info/index.php/e ... ad&fid=331
ZIONIST CULT PROPAGANDA

Are the Jewish people really facing genocide or an[…]

Global supply for Palestine

In Gaza, Palestinian children keenly appreciate th[…]

Hypocrisy of arabs towards gaza

Not only is she an huge influence, but a mother a […]

Recent news that has been circulating talks about […]

Ask4help Counseling Helpline